Friday, 13 December 2013

BREAKING NEWS INASADIKIWA WATU SITA WAMEPOTEZA MAISHA BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI MKOANI KILIMANJARO

 

Mkuu wa mkoa wa kilimanjaro Leonidas Gama na viongozi wengine wa mkoa huo wakishuhudia zoezi la uokoaji wa miili ya watu hao ukiendelea .



 

Wasamaria wema wakijaribu kufukua miili ya watu waliofukika na kifusi katika machimbo ya Moramu eneo la Pumwani wilaya ya Moshi vijijini Mkoani Kilimanjaro

 


No comments: