Thursday, 6 March 2014

CHETI CHA UTAMBUZI WA UVUMBUZI WA MADINI YA TANZANITE







Cheti cha Tuzo kwa Mvumbuzi wa Madini ya Tanzanite,kilichotolewa na Tume ya Sayansi na Technologia, chini ya Wizara ya Mipango na Uchumi, katika maadhimisho ya sherehe za Mei Mosi Mkoani   Mbeya Mwaka 1984,Baada ya serikali kufanya utafiti na kubaini 
kwamba mvumbuzi wa madini hayo ni Mzee Jumanne Mhero Ngoma.





No comments: